Picha: Matukio tofauti baraza la madiwani la kuwasilisha taarifa za kata robo ya Nne 2017 Halmashauri ya wilaya ya Tarime Mkoani Mara.
Diwani kata ya Muriba akiwasilisha taarifa | 
Madiwani wakifuatilia kinachoendelea katika kikao hicho. | 
Madiwani wakifuatilia kinachoendelea katika kikao hicho. | 
Katikatu ni Makamu Mwenyenyiki wa Halmshauri ya wilaya ya Tarime Bathromeo Machage kushoto ni diwani wa kata ya Susuni. | 
Diwani wa kata ya Nyanungu Mang'enyi akiwasilisjha Taarifa ya kata yake. | 
Diwani kata ya Ganyange Nashon Marwa akiwasilisha taarifa ya kata yake ambapo amesema kuwa kwa sasa kata yake inaendelea vyema katika suala zima la ulinzi na usalama. | 
Mama Mery Nyagabonaa diwani viti maalumu CHADEMA akiwasilisha taarifa katika balaza la madiwani. | 
Diwani kata ya Binagi Marwa Chacha akiwasilisha taarifa ya kata yake. | 
Diwani kata ya Komaswa akiwasilisha taarifaChanzo: Frankius Cleophace. | 
No comments