PICHA :MKUU WA WILAYA YA TARIME LUOGA ATEMBELEA WANANCHI WALIKUMBWA NA MAAFA MVUA ZILIZOAMBATANA NA UPEPO ZAEZUA NYUMBA TAKRIBANI 52
![]()  | 
![]()  | 
Mkuu wa wilaya ya Tarime Glorious Luoga aliyevaa suti nyeusi akionesha moja jengo ambalo limeezuliwa na upepo mkali. | 
![]()  | 
![]()  | 
![]()  | 
Nyumba zilizoezuliwa na upepo kijiji cha Murito | 
![]()  | 
Mmoja wa wananchi akieleza juu ya maafa hayo. | 
![]()  | 
Mkuu wa wilaya akieleza jinsi ya kujenga nyumba bora. | 
![]()  | 
Mti ulivyodondoka na upepo mkali | 
![]()  | 
![]()  | 
Nyumba ambayo imebomolewa | 
![]()  | 
Bibi ambaye amekumbwa na changamoto hiyo. | 
![]()  | 
Diwani wa kata ya Kemambo Rashid Bugomba akisalimia bibi ambaye amekumbwa na janga la kubomoka kwa nyumba yake. | 
![]()  | 
Nyumba zilizobomoka | 
![]()  | 
![]()  | 
Mkuu wa wilaya ya Tarime Luoga akionesha jinsi wanavyojenga vibaya Nyumba hizo amesema kuwa kuna haja kubwa ya kujenga nyumba imara | 
![]()  | 
Mkuu wa wilaya ya Tarime Luoga akionesha jinsi wanavyojenga vibaya Nyumba hizo amesema kuwa kuna haja kubwa ya kujenga nyumba imara | 
![]()  | 
![]()  | 
![]()  | 
Diwani wa kata ya Kemambo Rshid Bugomba akiongea na Mwandishi wetu baada ya kutembelea eneo la wahanga. | 
![]()  | 
Mkuu wa wilaya ya Tarime Glorius Luoga akiongea na Mwandishi wetu baada ya kutembelea eneo lililokumbwa na maafa . | 





















No comments