Kupitia mtandao wake wa Instagram, muigizaji huyo amethibitisha hilo 
kwa kuandika ujumbe unaosomeka, “Nafurahi kuwa mmoja wa team hii mpya ya
 #Eastafricaradio.Ni planetbongo mpya 2017.”
Awali Ndauka alikuwa akitangaza Times FM kabla ya mkataba wake kumalizika mwishoni mwaka jana.
 
No comments