PICHA :MKUU WA WILAYA YA TARIME LUOGA ATEMBELEA WANANCHI WALIKUMBWA NA MAAFA MVUA ZILIZOAMBATANA NA UPEPO ZAEZUA NYUMBA TAKRIBANI 52
![]() |
![]() |
Mkuu wa wilaya ya Tarime Glorious Luoga aliyevaa suti nyeusi akionesha moja jengo ambalo limeezuliwa na upepo mkali. |
![]() |
![]() |
![]() |
Nyumba zilizoezuliwa na upepo kijiji cha Murito |
![]() |
Mmoja wa wananchi akieleza juu ya maafa hayo. |
![]() |
Mkuu wa wilaya akieleza jinsi ya kujenga nyumba bora. |
![]() |
Mti ulivyodondoka na upepo mkali |
![]() |
![]() |
Nyumba ambayo imebomolewa |
![]() |
Bibi ambaye amekumbwa na changamoto hiyo. |
![]() |
Diwani wa kata ya Kemambo Rashid Bugomba akisalimia bibi ambaye amekumbwa na janga la kubomoka kwa nyumba yake. |
![]() |
Nyumba zilizobomoka |
![]() |
![]() |
Mkuu wa wilaya ya Tarime Luoga akionesha jinsi wanavyojenga vibaya Nyumba hizo amesema kuwa kuna haja kubwa ya kujenga nyumba imara |
![]() |
Mkuu wa wilaya ya Tarime Luoga akionesha jinsi wanavyojenga vibaya Nyumba hizo amesema kuwa kuna haja kubwa ya kujenga nyumba imara |
![]() |
![]() |
![]() |
Diwani wa kata ya Kemambo Rshid Bugomba akiongea na Mwandishi wetu baada ya kutembelea eneo la wahanga. |
![]() |
Mkuu wa wilaya ya Tarime Glorius Luoga akiongea na Mwandishi wetu baada ya kutembelea eneo lililokumbwa na maafa . |
No comments